Waziri wa Mambo ya Nje wa Abbas Araghchi amefanya ziara katika mji mtakatifu wa Karbala, ambapo alitembelea maqamu takatifu za Imam Hussein ibn Ali na Al-Abbas ibn Ali na kutoa heshima zake wakati wa ziara yake rasmi nchini Iraq.
Bibi Ummul-Baneen aliwapenda Ahlul-Bayt wa Mtume kuliko alivyowapenda wanawe mwenyewe. Alipopata habari za huzuni za Karbala, hakumuuliza kwanza kuhusu wanawe wanne, bali alisema:
“Nijulisheni kuhusu Hussein.”