Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, ameeleza masikitiko na rambirambi za Serikali na wananchi wa Iran kwa Venezuela kufuatia matetemeko mawili makubwa ya ardhi, huku Tehran ikitangaza utayari wake wa kushiriki katika shughuli za uokoaji na misaada.
Uingiliaji huu, ambao mara nyingi umelaaniwa na jumuiya ya kimataifa, umezaa matokeo ya kudumu kama vile ukosefu wa utulivu, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kudhoofishwa kwa uhuru wa mataifa - hali inayosisitiza tena umuhimu wa kuheshimu sheria za kimataifa na kupinga sera za upande mmoja zinazoathiri amani ya kikanda.