Bahari

  • Ni vipi Fatima Zahra (a.s) Alikuwa Mpenzi na Mpendwa Zaidi Katika Maisha ya Ali (a.s)?

    Ni vipi Fatima Zahra (a.s) Alikuwa Mpenzi na Mpendwa Zaidi Katika Maisha ya Ali (a.s)?

    Katika baadhi ya nyakati, mtu humtambulisha nafsi yake kwa kutaja nasaba yake na watu wakubwa. Hivyo ndivyo alivyofanya Amirul-Mu'minin Ali (a.s) katika mojawapo ya khutba zake baada ya kurejea kutoka vita vya Nahrawan. Ali (a.s) alisema: “Mimi ni mume wa Bibi Batul, Bibi wa wanawake wa ulimwengu, Fatima aliye mchamungu, msafi, mtukufu, mwongofu, mpendwa wa Mpenzi wa Allah, bora wa mabinti wake na mchanga wa roho ya Mtume wa Allah (s.a.w.).” Kutaja kwa Imam Ali (a.s) daraja la juu la Bibi Zahra (a.s) baada ya kujinasabisha na mwanamke huyu mtukufu ni kusisitiza nafasi kuu ya bibi huyu mbele ya mtu mkubwa kama Ali (a.s).

  • Ubalozi wa Iran: Hatua ya Marekani dhidi ya Venezuela ni wizi katika Bahari ya Karibi

    Ubalozi wa Iran: Hatua ya Marekani dhidi ya Venezuela ni wizi katika Bahari ya Karibi

    Ubalozi wa Iran mjini Caracas, huku ukilaani vikali kitendo cha Marekani cha kukamata mafuta kwenye eneo la karibu na pwani ya Venezuela, umetangaza kuwa hatua hiyo ya Marekani ya kukamata meli ya mafuta ya Venezuela bila sababu yoyote ya kisheria ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni za kimataifa.

  • Sauti za Mshikamano wa Mexico na Palestina katika Barabara za Jiji Kuu

    Sauti za Mshikamano wa Mexico na Palestina katika Barabara za Jiji Kuu

    Maelfu ya wananchi mjini Mexico City waliungana katika maandamano makubwa yaliyopewa jina “Mexico kwa Palestina”, wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani, huku wakidai kusitishwa kwa mauaji ya kimbari Gaza na kutumwa haraka kwa misaada ya kibinadamu.