Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
Katika Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu mjini Tehran, vitabu vitatu vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kazakhi vitazinduliwa rasmi, na miongoni mwao ni kitabu kiitwacho "Rafiki Yetu Mwenye Bahati", ambacho ni wasifu wa Shahidi Jenerali Qasem Soleimani.