Ayatollah Khamenei amewaombea Marehemu rehma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na amewatakia familia za wahanga subira na utulivu wa moyo. Vilevile, amewaombea majeruhi wapate uponyaji wa haraka.
Baada ya tukio la kusikitisha katika Bandari ya Shahid Rajaei Bandar Abbas lililosababisha mashahidi na majeruhi kadhaa, Hezbollah ya Lebanon imetoa taarifa ya kuonesha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.