Rais wa Lebanon, katika kikao chake na ujumbe wa Benki ya Dunia, alisisitiza kujitolea kwa nchi yake kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, huku akilaani kuongezeka kwa uvamizi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la kusini mwa Lebanon. Aidha, aliomba taasisi za kifedha za kimataifa zitoe msaada kwa mchakato wa maendeleo na mageuzi nchini Lebanon.
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe