Jana, Benjamin Netanyahu, Gideon Sa’ar Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni, pamoja na Abdirahman Mohamed Abdullahi, rais wa kujitangaza wa Somaliland, walitia saini tamko la pamoja la kuitambua Somaliland kama nchi huru na inayojitegemea.
Katika nchi yenye historia ya kuishi kwa amani baina ya dini mbalimbali, mgogoro wa hijabu katika mji wa Axum umeibua tena mjadala kuhusu uhuru wa kidini nchini Ethiopia. Uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama Kuu ya eneo la Tigray unaweza kuwa hatua muhimu katika kuthibitisha haki za Waislamu na kuimarisha msingi wa usawa wa uraia .