Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema kutekeleza maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuzingatia matarajio ya Kiongozi Shahidi kutahakikisha mafanikio endelevu ya Mkuu wa Mhimili wa Mahakama wa Iran.
Mkuu wa Mhimili wa Mahakama wa Iran amesema mahudhurio ya mamilioni ya wananchi katika mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei yameandika ukurasa mpya wa historia ya mshikamano, heshima na uimara wa taifa la Iran.