Kundi la mtandao linalojiita “Hanzala” limetoa onyo kali kwa wanamaji wa Jeshi la Wanamaji la Marekani, likiwataka kuwasiliana na familia zao, likidai kuwa makombora yako tayari na likitahadharisha kujibu kwa nguvu iwapo kutatokea uchokozi dhidi ya Iran.
Kundi la udukuzi Hanzala limedai kuwa limepata taarifa nyeti za jeshi la Israel, likionya kuwa linafuatilia harakati zote na huenda likachapisha taarifa zaidi hivi karibuni.