Mkutano wa baadhi ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Taliban ukiwa na kaulimbiu ya “Kuelekea Umoja na Uaminifu” umefanyika kwa siku mbili mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Katika mkutano huu, baadhi ya wasichana wa Shia, wakiwemo Zahra Joyaa, mwanahabari maarufu kutoka Afghanistan, pia walihudhuria.
Mazungumzo ya Iran na Pakistan yanaonesha dhamira ya pamoja ya Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano wa kimkakati, kiuchumi na kiusalama katika kanda.