Timu ya taifa ya wanawake ya volleyball ya Iran imeendelea kuonesha ubabe wake katika ukanda wa Asia ya Kati baada ya kutwaa ubingwa wa Mashindano ya CAVA 2026 kwa kuifunga Kazakhstan mabao 3-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika mjini Kathmandu, Nepal.
Hujjatul Islam wal Muslimin Muhammad Saeed Waezi amesema kuwa kuimarisha umoja na mashauriano kati ya wanazuoni na wasomi wa Kiislamu ni jambo muhimu katika kukabiliana na changamoto za sasa na kufikia malengo makubwa ya ustaarabu mpya wa Kiislamu.