Kushiriki
-
Kamanda wa Walinzi wa Mipaka wa Iran awasili Pakistan kwa mkutano wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai
Kamanda wa Vikosi vya Walinzi wa Mipaka wa Iran, Brigedia Jenerali Ali Akbar Javidan, amewasili Islamabad kushiriki mkutano wa makamanda wa walinzi wa mipaka wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai (SCO).
-
Qalibaf Awataka Wairani Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Spika wa Bunge la Ushauri la Kiislamu la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika mazishi ya kiongozi shahidi, akisema ni fursa ya kuifikisha dunia ujumbe wa msimamo wa taifa la Iran dhidi ya dhuluma na uonevu.
-
Waumini wa Ahlul-Bayt (as) Temeke Wafanya Masira ya A'shura Kuhuisha Mapinduzi ya Imam Hussein (as) na Kulaani Dhulma ya Karbala +Picha
Maelfu ya waumini wa Ahlul-Bayt (as) jijini Dar es Salaam wamefanya Masira ya A'shura katika Wilaya ya Temeke kwa lengo la kuhuisha ujumbe wa Imam Hussein (as), kulaani mauaji ya Karbala na kusisitiza kusimama upande wa haki, uadilifu na kupinga dhulma.
-
Mamilioni ya Wairaq Kuitikia Wito wa Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Takribani Wairaq milioni moja wanatarajiwa kushiriki mazishi ya kiongozi shahidi wa Mapinduzi, huku zaidi ya nusu milioni wakitarajiwa kuingia Iran kupitia mpaka wa Mehran kuelekea Tehran, Qum na Mashhad kwa ajili ya maombolezo.
-
Uthabiti wa Wananchi wa Iran katika Kuunga Mkono Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya Maadui wa Kigeni
Kwa mujibu wa wachambuzi, ushiriki wa mamilioni ya wananchi wa Iran katika maandamano na mikusanyiko ya kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ni ishara ya mshikamano wa ndani na jibu la kisiasa kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka kutoka Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Trump Akiri Kushiriki katika Jinai
Kauli ya Donald Trump, rais wa Marekani, iliyokiri wazi kiwango cha msaada mkubwa wa Marekani kwa Israel, imezua mjadala mpana katika uwanja wa siasa za kimataifa. Wachambuzi wanasema kauli hiyo inaashiria ushiriki wa moja kwa moja wa Marekani katika sera na hatua zinazohusishwa na ukaliaji wa ardhi, uvamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wananchi wa Palestina, jambo lililoibua maswali mazito kuhusu uwajibikaji wa kimaadili na kisheria wa Washington mbele ya jumuiya ya kimataifa.