Zaidi ya raia milioni 6.5 wa Honduras watapiga kura Jumapili hii kuamua kama mradi wa kisiasa wa mrengo wa kushoto wa Rais Xiomara Castro na mgombea wake, Rexy Moncada, utaendelea au la, au kama shinikizo la Donald Trump litaweza kumsaidia Nasry Asfura, mgombea wa mrengo wa kulia, kufanikisha ushindi.
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".