Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesema matukio ya usiku uliopita yameonyesha wazi kuwa vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kuitetea nchi wakati wowote, huku akiilaumu Marekani kwa kudhoofisha mchakato wa kidiplomasia kupitia ujumbe unaokinzana na ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita.
Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.