Putin alifika New Delhi, India, Alhamisi, ambapo alikaribishwa na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, siku mbili tu baada ya mkutano wake katika eneo la Kremlin na ujumbe wa Marekani ulioongozwa na mwakilishi maalum Steve Witkoff.
Kitengo cha Utafiti cha Jame’atuz-Zahra (s) kwa kushirikiana na Shirika la Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu, kinatarajia kuandaa warsha maalumu ya kitaalamu na ya kiutendaji yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” katika muktadha wa Tuzo ya Kimataifa ya Shahidi Sadr.