Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua mashahidi 6 Wapalestina na kuwajeruhi watu 5 wengine, baada ya kulipua kwa mizinga kituo cha hifadhi kilichopo mashariki mwa Jiji la Gaza, wakati wa hafla ya harusi.
Mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Kishia nchini Pakistan amesema kuwa usaliti wa Uturuki, baadhi ya nchi za Kiarabu na washirika wao umeacha majeraha makubwa yasiyoweza kupona katika mwili wa Palestina.