Naibu Waziri wa Ulinzi na Msaada wa Majeshi ya Iran, Brigedia Jenerali Sayyid Majid Ibn al-Ridha, amesema vikwazo na vita vimekuwa miongoni mwa sababu zilizochochea maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika sekta ya ulinzi ya Iran.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, pamoja na Naibu wake Majid Takht-Ravanchi, wameonekana wakipitia nyaraka muhimu kabla ya kuanza kwa mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani mjini Muscat, Oman.