Adui wetu wa wanadamu ni shetani; naye pia ana wafuasi wanaomsaidia. Wafuasi hao wana majina na majukumu mbalimbali, ambayo tutayataja katika makala hii.
Mkurugenzi wa Idara ya Tablighat Islami ya Mazandaran amesema: Mwaka huu zaidi ya vikundi 200 vya maombolezo kutoka miji mbalimbali ya mkoa huu, kwa hisia na ufahamu wa kipekee, vimeshiriki kwenye hafla za maombolezo na mikusanyiko ya kidini katika Haram ya Imam Ridha (a.s), na hivyo mila ya kihistoria ya watu wa Mazandaran imefanyika tena kwa upeo mkubwa.