Mamia ya wananchi wa Tunisia walifanya mazishi ya mfano kwa heshima ya Kiongozi Shahidi Imam Sayyid Ali Husseini Khamenei, wakithibitisha mshikamano wao na mhimili wa muqawama na kupinga kuhalalishwa kwa uhusiano na utawala wa Kizayuni.
Kwa mujibu wa madai ya gazeti la Wall Street Journal, vikosi maalum vya Marekani vilivamia na kuteka meli iliyokuwa ikibeba shewena ya kijeshi kutoka China kuelekea Iran katika Bahari ya Hindi mnamo Novemba 2025.
Ubalozi wa Iran nchini Uingereza umejibu upotoshaji wa vyombo vya habari vya Kiingereza kuhusu wakimbizi wa Afghanistan walioko Iran, na umepinga madai ya uongo yaliyotolewa na vyombo hivyo vya habari vya Kiingereza kwamba kuna uwezekano wa kufukuzwa kwa mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Afghanistan kwenda katika nchi jirani.