Urusi imependekeza mpango wa makubaliano kati ya Iran na Marekani. Kampuni ya Urusi Rosatom isimamie urutubishaji wa urani nchini Iran kwa matumizi ya kiraia. Iran ibaki na haki ya kurutubisha urani kwa kiwango cha karibu 3.6%. Iran itoe dhamana ya kutotumia makombora yake kwa mashambulizi ya mapema dhidi ya Marekani au Israel.
Lengo ni kufikia makubaliano yanayokubalika kwa pande zote.
Kipeo cha Hormuz ni moja ya njia kuu za kimataifa za kusafirisha mafuta na bidhaa, hivyo zoezi lolote la kijeshi katika eneo hilo huweza kuleta athari pana za kiuchumi na kiusalama duniani.
Ehud Olmert: Ingawa mashambulizi ya anga ya Marekani kwenye vituo vya nyuklia vya Iran yanaweza kuchelewesha kwa muda mpango wa nyuklia wa nchi hiyo, lakini yatakuwa na matokeo mapana zaidi.