Sheikh Naeem Qassem: “Siku ya Shahidi si tu kwa ajili ya kuwakumbuka mashahidi, bali pia ni heshima kwa familia zao na wote wanaounga mkono njia ya mapambano ya muqawama.”
Baraza la Uratibu wa Propaganda (Tablighi) za Kiislamu limetoa taarifa na kutangaza: Marasimu ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu kuwa itafanyika siku ya Jumamosi tarehe 27 Julai 2025, saa 8:00 Asubuhi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran.