Kufunguliwa kwa milango ya Bwawa la Atatürk nchini Uturuki kumesababisha mafuriko makubwa katika maeneo ya Deir ez-Zor na Raqqa nchini Syria, huku zaidi ya hekta 24,000 za mashamba zikiharibiwa na maelfu ya wananchi kulazimika kuhama makazi yao.
Kiongozi huyo wa kidini wa Shia Pakistan alisisitiza kuwa leo hii, rushwa, ukosefu wa sheria na usimamizi mbovu ndizo zimeenea kote katika eneo la Gilgit-Baltistan. “Wananchi wanajiona wapo peke yao, wamenyimwa haki na hawana pa kutegemea. Endapo hali hii itaendelea, ghadhabu ya wananchi inaweza kubadilika na kuwa dhoruba kubwa ambayo mzigo wake utabebwa na watawala pekee,”