Mashirika ya Kimataifa
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Mazungumzo ya Biashara Huria kati ya Uingereza na Israeli yameghairiwa (yamesitishwa); Balozi wa Israeli London aitwa
Serikali ya Uingereza imeamua kusitisha mazungumzo ya mkataba wa biashara huria na utawala wa Kizayuni kutokana na kuongezeka kwa ghasia zinazofanywa na wakazi wa maeneo ya mizozo na uendeshaji wa operesheni za kijeshi katika ukanda wa Ghaza. Aidha, imeweka vikwazo dhidi ya watu na mashirika yanayohusiana na ghasia hizi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza pia amemwita balozi wa utawala huo ili kutoa maelezo kuhusu hali hiyo na kusisitiza umuhimu wa kuacha mara moja matendo ya ukatili.
-
Mwanaume Mkristo aliyesilimu kwa sababu ya tabia nzuri ya Ali (AS)
Je, Hadhrat Ali (AS) alifanya nini wakati Mwanaume mmoja Mkristo aliposilimu? Kwa heshima ya kusilimu kwake, alimpa ngao yake (inayovaliwa vitani) na kumpa nafasi katika Serikali.
-
Katuni | Hakuna njia ya kutokea na kukimbia huko Gaza
Watoto wa Kipalestina wanatamani sana Msaada kutoka kwa Mashirika ya Kimataifa.