Meya
-
Meya wa Tehran: Trump hatakuwa salama popote duniani baada ya mauaji ya Kiongozi wa Iran
Meya wa Tehran, Alireza Zakani, amesema kuwa wale wanaohusika na kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, watakabiliwa na hatua za kulipiza kisasi, akisema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump "hatakuwa salama popote duniani."
-
Mamdani: “Trump ni Mfasisti na Mwimla” — Asema Meya Mteule wa New York.Amesema bado ataendelea kuwa wazi, mkosoaji pale inapobidi, na mshirika pale ku
Kwa maneno yake: “Haki na ukweli huwa vinang’aa daima; uongo haudumu.”
-
Mashambulizi ya Kipuuzi Zaidi Kufuatia Kuongezeka kwa Umaarufu na Ushindi wa Mamdani katika Uchaguzi wa Awali wa Umeya wa New York
Zahran Mamdani, Mbunge wa jimbo na mgombea wa chama cha Demokratik katika uchaguzi wa Umeya wa New York, kupitia kampeni za wananchi amefanikiwa kuwashinda wapinzani maarufu kama Andrew Cuomo katika kinyang’anyiro cha awali na kuwa mgombea wa kwanza Mwislamu kwa nafasi hiyo. Ushindi huo, hata hivyo, umekumbwa na mashambulizi ya chuki na matusi ya Uislamu kutoka kwa baadhi ya wanasiasa, lakini yeye pamoja na wafuasi wake wametangaza kuwa hawatarudi nyuma mbele ya chuki na ubaguzi.