Mwandishi wa Yemeni katika uchambuzi wake wa matukio ya hivi karibuni katika kanda na vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika: Kimaandalizi kisiasa, hotuba ya kiongozi wa mapinduzi ilikuwa tangazo rasmi la kushindwa kwa sera ya shinikizo la juu kabisa; badala ya vizuizi na vitisho kusababisha Iran kujiondoa, inaonekana kuwa maneno yenye vitisho yametuma ishara kwa Tehran kuongeza kiwango cha majibu ya kimkakati.