Kundi la udukuzi Hanzala limedai kuwa limepata taarifa nyeti za jeshi la Israel, likionya kuwa linafuatilia harakati zote na huenda likachapisha taarifa zaidi hivi karibuni.
Tukio la kuhujumiwa na kudhalilishwa Qur’an Tukufu huko Stockholm, pamoja na mlolongo wa matusi na dharau zilizotokea Ulaya na Marekani, linafichua uhalisia ambao ndani yake chuki dhidi ya Uislamu imegeuzwa kuwa chombo cha kisiasa mikononi mwa mikondo ya mrengo wa kulia uliokithiri na washirika wao wa Kizayuni.