Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa inaongezeka, na asilimia 66 ya Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa waathirika wa ubaguzi na chuki za kijinsia na kikabila katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Msemaji wa Taliban, alipoulizwa na mmoja wa waandishi wa habari kuhusu nafasi ya elimu na masomo ya wasichana katika mkakati huu wa miaka mitano, alisema kuwa suala hilo ni jambo la “kijuujuu” mbele ya mada kuu ya kikao hicho, na akakataa kulijibu.