Kamati ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa sala ya maiti ya Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (r.a.) pamoja na baadhi ya wanafamilia wake na mashahidi wengine itafanyika Jumapili saa 12:00 asubuhi kwa saa za Iran katika Msala wa Tehran.
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya michezo ya nchi yetu ambapo Timu ya Taifa ya mieleka ya “freestyle” na “Greco-Roman” zimefanikiwa kwa pamoja kutwaa ubingwa wa dunia katika mashindano moja.