Miongoni mwa dua za Mtume (s.a.w.w) kwa ajili ya kuondokana na mzigo mzito wa wasiwasi ilikuwa:
«اللَّهُمَّ إِنِّی أَعُوذُ بِکَ مِنَ الْهَمِّ وَالْحَزَنِ…»
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa: Mwenge wa “Dhoruba ya Al-Aqsa” utaendelea kuwaka daima, ukiwapulizia roho ya kusimamia haki, misingi, na umoja wa kitaifa. Moto wake katika nyoyo za taifa letu kubwa hautazimika kamwe, ijapokuwa kujitolea ni kwa gharama kubwa na nguvu za adui ni nyingi.