Harakati ya Jihad Islami Yajibu Jinai za Utawala wa Kizayuni kwa Kulenga Miji ya Ashdod na Ashkelon
Harakati ya Jihad Islami imejibu uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kulenga kwa makombora miji ya Ashdod na Ashkelon.
Kufuatia mashambulizi hayo, king’ora cha tahadhari kilisikika mjini Ashkelon, huku vyombo vya habari vya Israeli vikieleza kuwa kombora moja limenaswa angani juu ya jiji hilo.
Hafla hii imehudhuriwa na Madrasat kutoka Bilal Muslim – Kanda ya Pangani pamoja na baadhi ya Madrasa kutoka kwa ndugu zetu wa Kisuni. Hili ni jambo la faraja kubwa, linaloashiria mshikamano wa kijamii na wa kidini katika maeneo yetu.