Swali
-
Trump: Marekani Itaishambulia Iran na “Kwa Nguvu Kubwa”, Aonya Kurudi kwa Mashambulizi ya Mabomu
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani iko tayari kuendelea na mashambulizi dhidi ya Iran kwa nguvu kubwa zaidi, akithibitisha pia uwezekano wa kurejea kwa mashambulizi ya mabomu baada ya swali la mwandishi wa habari kuhusu operesheni hizo.
-
Iran Yahoji Madai ya Marekani: Ikiwa Shambulio la Beirut Lingesimamishwa kwa Simu Moja, Kwa Nini Mashambulizi Yaliendelea kwa Miezi Kadhaa?
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amehoji madai ya Rais wa Marekani kuhusu kuzuia shambulio dhidi ya Beirut kwa simu moja, akisema kuwa ikiwa hilo linawezekana, basi ni lazima ielezwe kwa nini mashambulizi dhidi ya Lebanon, ukiukaji wa usitishaji mapigano na vitisho kwa mamlaka ya taifa hilo viliendelea kwa miezi kadhaa huku vikifurahia uungaji mkono wa kisiasa na kijeshi kutoka kwa baadhi ya nchi za Magharibi.
-
Jibu la Ayatollah Al-Udhma Sistani Kuhusu Kufuata Maimam wa Sala ya Jamaa Wanaopokea Malipo (Mishahara) za Kiserikali
Ayatollah Al-udhma Al-Sistani, kiongozi mkuu wa Shi’a, katika jibu lake kwa swali kuhusu kufuata maimamu wa sala ya jamaa (imam wa jamaa) wanaopokea haki (ya mishahara) kutoka serikali za Kiislamu, alishauri waumini wasisali nyuma yao, ili nafasi za kidini zilindwe dhidi ya uingiliaji wowote unaowezekana wa serikali.
-
"Tufani ya Al-Aqsa”: Jibu kwa Swali na kwa Miaka ya Uvunjaji wa Haki na Ukaliaji kwa Mabavu"
Swali la kihistoria tunalotakiwa kulitolea Majibu ya Kihistoria na ya ndani ya nafsi zetu ni hili: Katika mapambano kati ya jeshi la Mwenyezi Mungu na jeshi la Shetani, sisi tunatakuwa kusimama upande upi?.
-
Je, ilikuwa sahihi kutumia vijana baleghe wachanga katika Vita vya Kulazimishwa (Vita vya Iran na Iraq)?
Nchi kadhaa za Ulaya, ikiwemo Ujerumani, zimeruhusu kisheria ajira ya zaidi ya watoto askari 1,500 chini ya utaratibu wa kipekee wa jeshi.