Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao ni karamu ya Mwenyezi Mungu, “brand” ya kweli si mavazi ya gharama bali ni taqwa, ikhlasi, subira na maadili mema. Hivi ndivyo vinavyomfanya mja awe mrembo mbele ya Mwenyezi Mungu na kufuzu katika meza ya rehema na maghfira.
Lengo Kuu la mada iliyowasilishwa ni: Kukuza roho ya ibada, kuimarisha umoja wa kijamii, na kuhimiza utamaduni wa Sala ya Ijumaa miongoni mwa wanafunzi wa dini