Wanadamu

  • “Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:

    “Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"

    Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa msimu wa Hijja ya mwaka 1447 Hijria, Ayatollah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei amesisitiza kuwa kauli ya “Allahu Akbar” imekuwa silaha ya msingi ya Umma wa Kiislamu katika kupambana na dhulma na ubeberu. Ameeleza kuwa uamsho wa Kiislamu utaendelea kuenea duniani kupitia mshikamano wa Waislamu, huku akisisitiza umuhimu wa kujitenga na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika nyanja za kisiasa na kijamii.

  • Majina ya wafuasi wa shetani na matendo yao (kazi zao)

    Majina ya wafuasi wa shetani na matendo yao (kazi zao)

    Adui wetu wa wanadamu ni shetani; naye pia ana wafuasi wanaomsaidia. Wafuasi hao wana majina na majukumu mbalimbali, ambayo tutayataja katika makala hii.

  • Binadamu Katika Mtazamo wa Qur’an

    Binadamu Katika Mtazamo wa Qur’an

    Qur’ani katika asili ya kila binadamu, hata kama ni Firauni, inamtambua binadamu wa kweli, na kwa hiyo Mitume wa Mwenyezi Mungu wanapokuja kupambana na Firauni, jambo la kwanza wanalojaribu ni kuamsha ule ubinadamu wa ndani ulio ndani yake umpinge yeye mwenyewe. Ana fitra inayomfahamu Mwenyezi Mungu; ana ufahamu wa Mungu wake katika kina cha dhamiri yake. Ukanushaji na mashaka yote ni maradhi na upotovu kutoka kwenye asili halisi ya binadamu.