Taasisi na vyuo vinne vilishiriki katika mashindano hayo, ikiwemo Taasisi ya Kimataifa ya Al-Mustafa (s). Wanafunzi wavulana wa Chuo cha Al-Mustafa - Mbezi Beach waliwakilisha taasisi yao kwa umahiri mkubwa na hatimaye wakaibuka washindi wa nafasi ya pili katika mashindano hayo.
Kwa mtu yeyote, anayetaka thawabu na malipo mema toka kwa Allah (s.w.t), kupitia kusapoti na kusaidia Harakati hizi za Kidini za S.D.O Bukoba, Tanzania, basi anakaribishwa na mlango upo wazi.