Wilayat
-
Wilayat ya Amīr al-Mu’minīn (a.s) katika kauli za Imam Muhammad al-Baqir (as)
Wilaya kwa maana ya upendo na utiifu: Wilaya ya Ali ibn Abi Talib ina maana ya upendo wa moyo na utiifu wa vitendo kwa kiongozi huyu katika nyanja zote za maisha. Wilaya kwa maana ya njia ya uongozi na mwongozo: Wilaya ya Ali ibn Abi Talib (as) ni mwakilishi wa kuendelea kwa njia ya Nabuwat / Unabii na mwongozo wa Kiungu baada ya Mtume (s.a.w.w), ikionyesha kwamba uongozi wake ni kielelezo cha mwongozo wa Mungu na mafundisho ya nabii.
-
Funzo Kuu la Arbaeen ni Msimamo Imara, Subira, na Mapambano: Ayatollah Ramazani
Mkutano wa awali wa wavuti (webinar) ulioandaliwa na Idara ya Masuala ya Kimataifa ya Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s.) kuhusu mada “Kutathmini Ujumbe wa Kimataifa wa Arbaeen ya Imam Hussain (a.s): Kutoka Wilayat hadi Wajibu” umefanyika.
-
Maana ya Ghadir Khum na Umuhimu wa Siku ya Ghadir Khum katika Uislamu
Ghadir Khum ni tukio la kihistoria lenye uzito mkubwa kwa Waislamu, hasa kwa wale wanaotilia mkazo nafasi ya Ahlul Bayt (a.s) katika uongozi wa umma. Ni siku ya kutafakari juu ya uongozi wa haki, kutambua mafundisho ya Mtume (s.a.w.w), na kuhuisha uhusiano wa kidini kwa msingi wa upendo, uadilifu, na utiifu kwa uongozi wa kweli wa Kiislamu.