Kibri cha dhalimu huyu (Marekani/Trump) hakimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu amempuuza au amemsahau. Kinyume chake, kadiri dhalimu anavyozidi kujipandisha juu kwa kibri na majivuno, ndivyo anguko lake linavyozidi kuwa la kutisha zaidi.
Habari njema ni kuwa, kwa kuwa bomu hili si la nyuklia, halitoi mionzi yoyote hatari ya sumaku au ya miale ya nyuklia. Teknolojia hii mpya inaweza kubadilisha matumizi ya silaha za nguvu zisizo za nyuklia katika siku zijazo.