Jenerali wa Kifaransa Vincent Desportes amesema kuwa Donald Trump yuko katika mkwamo wa kimkakati dhidi ya Iran, akieleza kuwa licha ya Marekani kuwa na uwezo wa kijeshi wa kushambulia, bado kuna mashaka kuhusu dhamira ya kisiasa ya kuanzisha hatua hiyo.
Katika mkutano na Spika na wabunge wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Iran Haijawahi Kuyumba Mbele ya Mashinikizo ya Kimataifa".