Mahakama ya jimbo la Connecticut nchini Marekani imetoa video inayoonyesha jinsi mfungwa Mmarekani mwenye asili ya Afrika, J'Allen Jones, alivyofariki baada ya kudhibitiwa kwa nguvu na walinzi wa gereza, jambo lililozua maswali mapya kuhusu ukatili ndani ya magereza ya Marekani.
Baadhi ya waliokuwa huru wamesema kuwa walikutana na Walebanon waliokuwa wameorodheshwa awali kama waliopotea katika magereza ya Ofer, Nafha, Ramla, na Ashkelon.