hasara
-
Jeshi la Anga la Marekani Lakabiliwa na Upungufu wa Droni za MQ-9
Ripoti zimeeleza kuwa Jeshi la Anga la Marekani linakabiliwa na upungufu wa droni za MQ-9 Reaper, jambo lililoifanya Washington kutafuta njia za kuongeza idadi ya ndege hizo kwa kununua zilizopo kutoka kwa wahusika wengine.
-
Somo la Kijamii kutoka ndani ya Nahjul - Balagha: "Udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani kwa maslahi ya Jamii"
Amirul Mu’minin (a.s) anatufundisha kupitia Nahj al-Balagha kwamba udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani na kushirikiana kwa bidii kwa maslahi ya jamii. Ushirikiano na kusaidiana ni msingi wa jamii yenye afya na yenye usawa, huku uvivu na kutotimiza wajibu wa kijamii ukileta hasara.
-
Afisa wa Kizayuni anaonya juu ya kupanda kwa gharama ya kupanua vita vya Gaza
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kushirikiana na Pakistan kukomesha ugaidi
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.