hasara
-
Somo la Kijamii kutoka ndani ya Nahjul - Balagha: "Udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani kwa maslahi ya Jamii"
Amirul Mu’minin (a.s) anatufundisha kupitia Nahj al-Balagha kwamba udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani na kushirikiana kwa bidii kwa maslahi ya jamii. Ushirikiano na kusaidiana ni msingi wa jamii yenye afya na yenye usawa, huku uvivu na kutotimiza wajibu wa kijamii ukileta hasara.
-
Afisa wa Kizayuni anaonya juu ya kupanda kwa gharama ya kupanua vita vya Gaza
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kushirikiana na Pakistan kukomesha ugaidi
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.
-
Dola bilioni 8: Gharama ya kashfa (fedheha) na mashambulizi yaliyoshindwa ya Marekani nchini Yemen
Vyombo vya habari vya Marekani vimekadiria gharama ya mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Yemen, katika muktadha wa kuunga mkono Israel, kufikia dola bilioni 8. Vimeripoti kuwa Trump alikuwa akimkejeli Biden kwa sababu ya gharama za vita dhidi ya Yemen, lakini yeye mwenyewe alisababisha hasara kubwa zaidi, huku Serikali ikificha takwimu halisi za vifo.