Amirul Mu’minin (a.s) anatufundisha kupitia Nahj al-Balagha kwamba udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani na kushirikiana kwa bidii kwa maslahi ya jamii. Ushirikiano na kusaidiana ni msingi wa jamii yenye afya na yenye usawa, huku uvivu na kutotimiza wajibu wa kijamii ukileta hasara.
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.