kampeni
-
Kampeni ya Kimataifa Yazinduliwa Kuadhimisha Kumbukumbu ya Kiongozi Shahidi Kupitia Qur’ani, Dua na Ziara za Maeneo Matakatifu
Shirika la International Union of One Ummah limezindua kampeni ya kimataifa inayohamasisha usomaji wa Qur’ani Tukufu, dua, tawafu na ziara za maeneo matakatifu kwa lengo la kuenzi kumbukumbu ya kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, huku wanazuoni wa Iraq wakitoa wito kwa mahujaji kushiriki katika ibada maalumu za kumkumbuka.
-
Mwana wa Waziri Mkuu wa Zamani wa Israel Aonyeshwa Kimakosa kama Aliyeuawa Iran
Vyombo vya habari vya maadui vimehusika katika kampeni ya upotoshaji dhidi ya Iran kwa kutumia picha za watu wasiokuwa na uhusiano na matukio ya ndani ya nchi hiyo. Hivi karibuni, hata picha ya mwana wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kizayuni, Naftali Bennett, iliwasilishwa kimakosa kama mmoja wa waandamanaji waliodaiwa kuuawa, lengo likiwa ni kupotosha umma wa dunia na kuchochea hisia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mwenyekiti wa Chama cha Majlis Ittehad-ul-Muslimeen nchini India;
Ameonesha msimamo wake kufuatia mjadala uliyoibuka dhidi ya bango lenye maandishi “Nampenda Muhammad”.
Kiongozi wa chama cha Majlis Ittehad-ul-Muslimeen nchini India, akijibu mzozo ulioibuka kutokana na mabango yenye maandishi “Nampenda Muhammad” katika jimbo la Uttar Pradesh, ameishutumu serikali ya India na viongozi wa eneo hilo kwa kuweka vizuizi vya kibaguzi na vya upendeleo.