Mwandishi wa Lebanon, Laila Amasha, amesema baadhi ya vyombo vya habari nchini humo huonyesha uungaji mkono kwa Jeshi la Lebanon pale tu linapofuata sera za Marekani, huku vikilikosoa pindi linapochukua msimamo wa kujitegemea.
Kibri cha dhalimu huyu (Marekani/Trump) hakimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu amempuuza au amemsahau. Kinyume chake, kadiri dhalimu anavyozidi kujipandisha juu kwa kibri na majivuno, ndivyo anguko lake linavyozidi kuwa la kutisha zaidi.