Leo hii, dalili zinaonyesha kuwa Marekani inaelekea kupoteza nafasi yake ya kimataifa na kukaribia anguko kubwa la kisiasa na kiushawishi duniani. Katika mabadiliko ya sasa ya uongozi wa dunia, haionekani tena kuwa na nafasi ile ya kujigamba kama ilivyokuwa hapo awali.
Uislamu, ili kuzuia kuporomoka kwa jamii kunakosababishwa na tofauti za kitabaka, umezingatia misingi ya kimaadili na kiitikadi kama vile tauhidi na uadilifu, na kwa kuweka hukumu za kiuchumi kama vile zaka, khumsi na kuharamisha riba, pamoja na kubainisha majukumu ya serikali ya Kiislamu, unalenga kusambaza mali kwa uadilifu na kusaidia wahitaji. Hatua hizi zimekusudiwa kuunda jamii yenye usawa na iliyo mbali na ufa mkubwa wa kitabaka.