mabavu
-
Katika ujumbe kwa Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; Kiongozi wa Mapinduzi:
Hitaji kuu la dunia leo ni mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu / Shambulio la Marekani lilishindwa mbele ya ujasiri wa vijana wa Iran
Ayatollah Khamenei, katika ujumbe wake kwa Mkutano wa 59 wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya, amesisitiza kuwa sababu kuu ya msukosuko na wasiwasi wa madhalimu wafisadi si suala la nyuklia, bali ni kuinuliwa kwa bendera ya kupinga mfumo usio wa haki na utawala wa mabavu wa mfumo wa ubeberu duniani, pamoja na mwelekeo wa Iran ya Kiislamu kuelekea kujenga mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina: Mashambulizi ya wakazi wa maboma ni sehemu ya mpango wa mauaji ya kimbari na kuhamishwa kwa nguvu
Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina, kupitia taarifa yake, imelaani vikali mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya raia wa Kipalestina na wanaharakati wa kigeni katika msimu wa kitaifa wa uvunaji wa zeituni katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
-
Mkuu wa Shirika la ujasusi la IRGC na Naibu wake Waliuawa Shahidi
Walinzi wa Mapinduzi walitoa taarifa na kutangaza kuuawa Shahidi Mkuu wa upelelezi Mohammad Kazemi na naibu wake.