Hii ni miaka 1187 tangu Imam Mahdi (AF) aingie katika kipindi cha Ghaiba Kubwa. Tukio hili ni fursa ya kuhuisha upendo wetu kwake, na kuonyesha kuwa taifa la Iran, hasa Qom, linasimama imara katika njia ya Imam wa Zama."
Kitengo cha wanawake cha Umoja wa Mataifa, katika kuelekea kumbukumbu ya miaka minne tangu Taliban ichukue madaraka nchini Afghanistan, kimetoa taarifa ikikosoa vikali mwenendo wa kundi hilo kuhusu wanawake wa Afghanistan.