mara kwa mara
-
Araghchi Amjibu Trump: Iran Haiombi Mazungumzo ya Makubaliano, Marekani Ndio Inayoomba Mazungumzo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amekanusha kauli ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba Iran inaomba kufikiwa kwa makubaliano, akisisitiza kuwa ni Washington ambayo imekuwa ikiomba mazungumzo mara kwa mara huku Tehran ikitaka suluhisho la kudumu.
-
Mwaka mmoja tangu marufuku ya kusali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq(as); Sera iliyoratibiwa mahsusi kulenga Ibada za Kidini nchin Bahrain
Kwa mujibu wa wachambuzi, kulengwa kwa mimbari ya Sala ya Ijumaa si suala la ndani tu, bali ni ishara ya juhudi za serikali ya Bahrain kudumisha uhusiano wa karibu na Israel - hata kama ni kwa gharama ya kukandamiza sauti za kidini na za wananchi.
-
Katika taarifa ya pekee imesema:
"Wanaume majemedari wa Ansarullah wamewaacha Wazayuni katika wasi wasi / Taifa la Yemen linamfufua mataifa yaliyozama usingizini"
“Umma wa Malk Khashab,” Mwanahabari wa kike wa Ansarullah, aliandika: Katika mapambano kati ya wavamizi na Wazayuni dhidi ya Yemen, hesabu zote zimebadilika na mizani imegeuzwa. Kwa hivyo, walianza kulia na kupiga kelele kutokana na wanaume imara wa Yemen na wana-yemen kwa ujumla, na sasa Yemen imekuwa moto wa kuotea mbali na ndoto za kutisha kwao zinazowaamsha mara kwa mara.