Rais wa Bunge la Taifa la Venezuela ametangaza kuwa idadi ya waliofariki dunia kutokana na matetemeko mawili makubwa ya ardhi imefikia watu 3,811, huku zaidi ya watu 16,700 wakijeruhiwa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, ameeleza masikitiko na rambirambi za Serikali na wananchi wa Iran kwa Venezuela kufuatia matetemeko mawili makubwa ya ardhi, huku Tehran ikitangaza utayari wake wa kushiriki katika shughuli za uokoaji na misaada.