miji
-
Mashambulizi ya anga ya Marekani yalenga Kazerun na Farashband nchini Iran, hakuna vifo vilivyoripotiwa
Ndege za kivita za Marekani zimeripotiwa kushambulia maeneo ya Kazerun na Farashband katika Mkoa wa Fars, kusini mwa Iran. Naibu Gavana wa Fars amesema mashambulizi hayo hayakusababisha vifo. Mashambulizi hayo yalifanyika katika saa za mwanzo za alfajiri ya Alhamisi. Mamlaka za eneo hilo zimesema hali kwa sasa ni shwari na ya kawaida.
-
-
Uthabiti wa Wananchi wa Iran katika Kuunga Mkono Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya Maadui wa Kigeni
Kwa mujibu wa wachambuzi, ushiriki wa mamilioni ya wananchi wa Iran katika maandamano na mikusanyiko ya kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ni ishara ya mshikamano wa ndani na jibu la kisiasa kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka kutoka Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ushambulizi wa wanajeshi wa Israeli dhidi ya nyumba za waliokuwa mateka waliotolewa huru katika Ukingo wa Magharibi
Vikosi vya kikoloni vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi usiku wa jana na asubuhi ya leo, na kufanya ukaguzi wa nyumba za baadhi ya waliokuwa mateka waliotolewa huru.