Kwa mujibu wa wachambuzi, ushiriki wa mamilioni ya wananchi wa Iran katika maandamano na mikusanyiko ya kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ni ishara ya mshikamano wa ndani na jibu la kisiasa kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka kutoka Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Vikosi vya kikoloni vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi usiku wa jana na asubuhi ya leo, na kufanya ukaguzi wa nyumba za baadhi ya waliokuwa mateka waliotolewa huru.