Sala ya kuomba mvua ya Imam Reza (a.s) ni miongoni mwa matukio maarufu ya kihistoria ambayo ndani yake, mbali na kusisitiza juu ya kuomba na kumlilia Mwenyezi Mungu, pia imebainishwa nafasi maalumu ya Uimamu na Ahlul-Bayt (a.s) katika kushuka kwa mvua ya rehema ya Mwenyezi Mungu.
Hii imekuwa ndio Hali yao ya Usiku na Mchana, lazima wakimbie na kushinda sehemu za kujihifadhi kwa sababuuda wote Mvua ya Makombora inanyesha juu yao.