“Upimaji wa Saratani tofauti kama ya shingo ya kizazi, matiti, na tezi dume kwa wanaume utafanyika bure kabisa. Wengine watapata matibabu hapo hapo na wale wanaohitaji huduma maalum zaidi watapewa rufaa,” alisema Dkt. Molloo.
Kauli hii ya Imam huyu inasisitiza umuhimu wa mshikamano wa Waislamu kote duniani, kwani umoja wa kweli unapaswa kuvuka mipaka ya tofauti za madhehebu na kuwa na lengo moja la kutetea haki na kuondoa dhuluma na udhalimu.