sehemu
-
Iraq: Hatutaacha urutubishaji wa urani
Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
-
Sehemu ya Tatu:
Khutba ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika kukaribia Mwezi wa Ramadhani - Sehemu ya Khutba ya Sha‘baniyyah
Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, dua za waumini hupokelewa haraka. Ni wakati wa kuomba kwa moyo safi na nia thabiti, hasa kuomba Mwenyezi Mungu atupatie neema ya kufunga Ramadhani na kusoma Qur’ani. Huu ni mwaliko wa kiroho wa kujijenga, kujisafisha na kuimarisha uhusiano wetu na Mwenyezi Mungu.
-
Jukumu la Marajii wa Kidini wa Kishia katika;
"Kulinda Umoja wa Kitaifa na Utambulisho wa Iran / Sehemu ya Saba: Kisa cha Kuokolewa kwa Lugha ya Taifa ya Iran na Ukombozi wa Azarbaijan"
Kulinda umoja wa ardhi na kuzingatia utambulisho wa kidini ni miongoni mwa masuala yaliyokuwa yakipewa umuhimu mkubwa na viongozi wa kidini katika ardhi za Kiislamu. Kiasi kwamba kila aina ya uvamizi au shambulio dhidi ya ardhi za Kiislamu ilikabiliwa na mwitikio mkali kutoka kwao. Uvamiuzi wa Azarbaijan wakati wa Vita vya Pili vya Dunia na juhudi za kuutenga mkoa huo kutoka Iran ni miongoni mwa mambo yaliyodhihirisha tena ushawishi wa uongozi wa kidini katika kulinda umoja wa ardhi ya nchi. Aidha, kulinda utambulisho wa kitaifa wa Kiairani pia lilikuwa ni mojawapo ya masuala yaliyopatiwa umuhimu maalum na viongozi (Marajii) wa kidini katika kipindi cha utawala wa Pahlavi.